Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mama Mlemavu aliechangiwa pesa ya Bajaji na hayati Magufuli aibiwa bajaji (video+)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 30, 2023
May 30, 2023
Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma
May 30, 2023
GSM Home wametuonesha bidhaa za ndani walizopunguza mpaka asilimia 60%, wahi sasa
May 30, 2023
Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mama Mlemavu aliechangiwa pesa ya Bajaji na hayati Magufuli aibiwa bajaji (video+)
Top Stories

Mama Mlemavu aliechangiwa pesa ya Bajaji na hayati Magufuli aibiwa bajaji (video+)

September 23, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Nyangoma James ni Mlemavu ambaye Hayati Magufuli alimchangia Mil 5 Ubungo Dar es salaam na akachangisha Watu wengine hadi ikapatikana zaidi ya Tsh. Milion 8 ambayo Nyangoma alinunua Bajaji na akawa Dereva yeye mwenyewe akiwa anafanyia biashara, lakini Jumamosi Wiki hii Bajaji yake imeibwa nyumbani alikopanga Kibaha, Mkoani Pwani.

Licha ya kuwa na Watoto watatu ambao wawili anawasomesha kwa sasa, Nyangoma pia anaishi na Baba yake Mzazi ambaye amepooza miguu na ile Bajaji aliyoinunua kwa msaada wa Hayati Magufuli ndio ilimwezesha kuwahudumia Watoto na Baba yake, namba za kumsaidia 0758311341 (imesajiliwa kwa jina la Joyce Songora).

EXCLUSIVE: WAFUNGA NDOA WODINI BAADA YA MUME KUPATA AJALI NA KUKATWA MGUU NA VIDOLE, WOTE WAFUNGUKA

You Might Also Like

Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma

GSM Home wametuonesha bidhaa za ndani walizopunguza mpaka asilimia 60%, wahi sasa

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

TAGGED: Bajaji, CCM, CHADEMA, Hayati Magufuli, kaibiwa
Edwin TZA September 23, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Burna boy, Wizkid na Diamond kipengele kimoja Afrima 2021
Next Article Walimu wote nchini Uganda kuchanja lazima
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma
Top Stories May 30, 2023
GSM Home wametuonesha bidhaa za ndani walizopunguza mpaka asilimia 60%, wahi sasa
Top Stories May 30, 2023
Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma

May 30, 2023
Top Stories

GSM Home wametuonesha bidhaa za ndani walizopunguza mpaka asilimia 60%, wahi sasa

May 30, 2023
Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?