Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mama mzazi wa Mbappe aikataa Madrid
Share
Notification Show More
Latest News
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mama mzazi wa Mbappe aikataa Madrid
Sports

Mama mzazi wa Mbappe aikataa Madrid

May 23, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mama mzazi wa mshambulia Kylian Mbappe Fayza Lamari amesema hakukuwa na makubaliano yoyote ambayo walifikia na Real Madrid Juu ya uhamisho wa Mbappe kujiunga na klabu hiyo.

Mbappe amekuwa akihusishwa kujiunga na Real Madrid lakini mapema hii leo imeripotiwa kuwa atasaini mkataba mpya wa kusalia PSG. Mkataba wake wa sasa na PSG unamalizika June 30 2022.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Tweeter Mama wa mshambuliaji huyo ambaye anamsimamia mtoto wake alimjibu mwandishi wa habari za michezo wa Ufaransa Frederic Hermel ambae aliandika kupitia mtandao huo kuwa Mbappe anapaswa kuheshimu makubaliano aliyoingia na Madrid. Ndipo Fayza akamjibu,

“Bwana Hermel, kama hatujui kitu, huwa tunanyamaza. Hakukuwa na makubaliano. Zingatia” Ameandika Mama mzazi wa Mbappe

You Might Also Like

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa Rais FIFA.

FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.

TAGGED: michezo
Pascal Mwakyoma TZA May 23, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Vita na Urusi ngumu kumalizika”Zelenskiy
Next Article Wananchi 15,000 wapewa elimu ya viwango na TBS
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

March 22, 2023
Top Stories

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?