Baada ya kusambaa kwa taarifa za Sakata la mama kujifungua getini baada ya muuguzi wa Zahanati ya Kashai iliyopo Manispaa ya Bukoba kugoma kufungua geti.
Sasa hapa Ayo TV & Millardayo.com inakukutanisha na akina Mama hao wakisimulia tukio zima.
TZA