Maofisa wa Polisi ambao wanatuhumiwa kwa mauaji ya Mfanyabiashara wa madini Mkoani Mtwara, Musa Hamis wamepandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara huku ulinzi wa Polisi ukiwa umeimarishwa ndani na nje ya Mahakama.
TAGGED:
Kesi Mahakamani, Polisi
TZA