Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama
Top Stories

Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama

February 2, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Kanisa Katoliki nchini Sudan Kusini linapanga kufanya maombi maalum Alhamisi kwa ajili ya kuwasili salama kwa Papa Francis ambaye anatarajiwa kuwasili nchini humo Ijumaa.

Papa Francis kwa sasa yuko katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ambako aliongoza moja wapo ya ibada zenye idadi kubwa zaidi ya watu Jumatano, ambapo watu wapatao milioni walihudhiria katika mji mkuu, Kinshasa.

Maombi kwa ajili ya kuwasili kwa Papa nchini Sudan Kusini yatafanyika katika eneo la kaburi la rais wa zamani John Garang mjini Juba, amesema Askofu mkuuStephen Ameyu Martin.

“Ninataka kutoa tangazo hili kwa Wakristu wote, tuje sote hapa Alhamisi saa kumi na moja jioni (15:00 GMT) kuombea afya ya Babamtakatifu Papa Francis na kuwasili kwake salama katika nchi yetu Ijumaa,” Askofu Mkuu.

Balozi wa Vatican nchini Sudan Kusini, Askofu mkuu Hubertus van Megen, ataongoza ibada ya Misa.

Wakati huo huo, serikali inasema imewapeleka maafisa wa usalama 5000, wanajeshi na polisi kuimarisha hali ya usalama wakati wa ziara ya Papa.

GHARAMA YA KUPUNGUZA UZITO KWA PUTO, MADHARA YAKE NI YAPI? MSECHU KILO 7 ZIMEPUNGUA.

You Might Also Like

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Gharama ya kupunguza uzito kwa puto, madhara yake?, Msechu Kilo 7 zimepungua
Next Article Mchezaji mwenye umri mkubwa (55) asaini Ureno
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?