Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Marufuku ya pombe nchini Iraq.!
Share
Notification Show More
Latest News
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Marufuku ya pombe nchini Iraq.!
Top Stories

Marufuku ya pombe nchini Iraq.!

March 6, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Chama cha kisiasa cha Kikristo chakata rufaa, kikisema kuwa ni kinyume cha demokrasia kuuza na kununua pombe hivyo liwekwe katazo mara moja.

Unywaji wa pombe hadharani hauruhusiwi nchini Iraq, nchi yenye Waislamu wengi, lakini inaweza kununuliwa katika maduka ya vileo au baa zilizo na leseni.

Sheria hiyo, iliyopitishwa awali na bunge mwaka 2016, inatoza faini ya hadi dinari milioni 25 za Iraq (£14,256).

Sheria hiyo inakataza  uuzaji, uagizaji au utengenezaji wa pombe  na ikawa rasmi tu mwezi uliopita, miaka saba tangu kupitishwa, baada ya kuonekana kwenye gazeti rasmi la serikali.

Bado haijulikani ni kwa kiasi gani sheria inaweza kutekelezwa, na ikiwa Mahakama ya Juu ya Shirikisho itaiondoa sheria hiyo.

Sarmad Abbas, wakala wa majengo  mji mkuu wa Iraq Baghdad, aliliambia shirika la habari la AFP kwamba marufuku hiyo ingesukuma tu uuzaji wa pombe kwenye soko la biashara.

Alikiri kwamba mafundisho ya Waislamu yanakataza unywaji wa pombe.

   “Lakini hiyo ni uhuru wa mtu binafsi ambao huwezi kuwakataza wananchi kuufanyia kazi,” alisema.

You Might Also Like

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 6, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Chama cha baiskeli wapata hamasa ya mashindano, mdhamini mpya (+picha)
Next Article TANESCO yazindua kampeni ya kutunza Mazingira kwa kupanda miti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
Sports September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
Top Stories September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
Top Stories September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Sports

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

September 27, 2023
Top Stories

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

September 27, 2023
Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Top Stories

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?