Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mashindano ya insha kwa wanafunzi wa Vyuo
Share
Notification Show More
Latest News
Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal
February 1, 2023
Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain
January 31, 2023
Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
January 31, 2023
Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
January 31, 2023
Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg
January 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mashindano ya insha kwa wanafunzi wa Vyuo
Top Stories

Mashindano ya insha kwa wanafunzi wa Vyuo

November 25, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Katika kusheherekea Siku ya Viwango Afrika kwa mwaka 2022, Shirika la Viwango tanzania (TBS) limeandaa shughuli mbalimbali ikiwemo Uandishi wa Insha kwa wanafunzi wa elimu ya juu, kutoa elimu kwa maafisa wa Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuhusu masuala ya Viwango.

Ameyasema hayo leo Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johannes Maganga  katika hafla ya Uzinduzi wa Mashindano ya Uandishi wa Insha kwa wanafunzi wa elimu ya Juu katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Viwango Afrika Machi 2022.

Amesema kila mwaka Shirika la Viwango barani Afrika (ARSO) huidhinisha maudhui ya insha na hualika Mashirika ya Viwango barani Afrika kuandaa shindano la insha kwa vyuo vikuu katika ngazi ya kitaifa. Washindi watakao patikana watashindanishwa katika ngazi ya Afrika.

“Shirika la Viwango huratibu zoezi hili katika ngazi ya Taifa ambayo inahusisha kutoa matangazo kwa wanafunzi kushiriki, kupokea insha kutoka kwa washiriki na kutoa washindi wa insha”.  Mhandisi Maganga.

Aidha amesema mashindano hayo ya uandishi wa insha ya ARSO yanalenga kuwawezesha vijana wa kiafrika kuelewa umuhimu wa viwango katika kuwezesha maendeleo endelevu barani Afrika.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Uandaaji Viwango TBS, Hamisi Mwanasala amesema kauli mbiu ya mwaka huu inatuelekezeka katika kutafakjari mchango wa viwango katika kuendeleza uchumi wa viwanda hasa kwenyye sekta ya madawa na vifaa tiba dhidi ya mapambano ya ugonjwa wa UVIKO 19 ambao umekuwa tishio kwa nchi za Afrika na Dunia kwa ujumla pamoja na magonjwa mengine ya mlipuko yanayoweza kutokea wakati ujao.

Nae Kaimu Meneja Viwango Nasra Hussein amesema wanafunzi ni wadau wakubwa wa Viwango hivyo ni fursa pekee kuwatumia kama mabalozi kupitia insha watakazoandika kwa ajjili ya kuelezea manufaa ya viwango katika ngazi za kiuchumi, kijamii na kimazingira.

INAHUZUNISHA MZEE ALIYEJIKATA NYETI ZAKE ILI AFE “MKE KANIKIMBIA, BUNDUKI INASHTUKA”

You Might Also Like

Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain

Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza

Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)

Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg

Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 25, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wavamia Polisi kutoka tunguli za waganga ziachiwe Songwe (video+)
Next Article Wafanyabiashara ya Utalii Rwanda na Tanzania kuunganishwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal
Sports February 1, 2023
Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain
Top Stories January 31, 2023
Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
Top Stories January 31, 2023
Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
Top Stories January 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain

January 31, 2023
Top Stories

Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza

January 31, 2023
Top Stories

Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg

January 31, 2023
Top Stories

Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine

January 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?