Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: MASHIRIKA YA KISERIKALI MAREKANI YAPEWA SIKU 30 KUSITISHA MATUMIZI YA TIKTOK.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > MASHIRIKA YA KISERIKALI MAREKANI YAPEWA SIKU 30 KUSITISHA MATUMIZI YA TIKTOK.
Top Stories

MASHIRIKA YA KISERIKALI MAREKANI YAPEWA SIKU 30 KUSITISHA MATUMIZI YA TIKTOK.

March 1, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Mapema wiki hii, Ikulu ya Marekani ilitoa tamko kwamba mashirika yote ya kiserikali yamepewa siku 30 kuhakikisha kuwa yanasitisha matumizi ya application ya TikTok kwenye vifaa na mifumo ya shirikisho. Katika jitihada za kuhakikisha usalama wa taarifa na data za kutoka nchini Marekani, mashirika yote ya shirikisho lazima yaondoe TikTok kutoka kwenye simu na mifumo ya serikali, Mkurugenzi wa Ofisi ya Usimamizi na Bajeti Shalanda Young aliambia mashirika katika ya hati ya mwongozo iliyoonekana na shirika la Habari la Reuters.

Mtandao huo una zaidi ya watumiaji bilioni moja duniani ikiwa ni pamoja na zaidi ya watumiaji milioni 100 nchini Marekani, ambapo imekuwa nguvu ya kitamaduni, hasa miongoni mwa vijana, ambayo imezua wasiwasi miongoni mwa wabunge. Serikali ya Marekani imesema iko tayari kuchukua hatua kubwa zaidi ili kukomesha matumzi ya TikTok huku sheria za kupiga marufuku application hiyo nchini Marekani ikianza kupitiwa na Bunge la Marekani.

Nchi ya Denmark pamoja na Canada zimeongezeka kwenye orodha za nchi zilizotangaza kupiga marufuku matumizi ya Tiktok kwenye vifaa vya serikali, Bunge la Denmark likiwataka wabunge kwamba wabunge na wafanyakazi kuondoa application ya TikTok kutoka kwenye simu zao ili kuepuka athari za kijasusi, huku kitengo cha utendaji kwenye Uomoja wa Ulaya ikifanya hivyo hivyo.

You Might Also Like

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 1, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18 KUTUMIA TIKTOK KWA LISAA LIMOJA TU.!
Next Article Picha: Shangwe kutoka kwa wafuasi wa Chadema, Lema aitikisa Arusha
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?