Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Matokeo ya Kombe la FA kwa mechi za leo.
Share
Notification Show More
Latest News
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Matokeo ya Kombe la FA kwa mechi za leo.
Sports

Matokeo ya Kombe la FA kwa mechi za leo.

January 4, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

arssenal

Mzunguko wa nne wa mashindano ya kombe la chama cha soka nchini England maarufu kama FA Cup umeanza hii leo kwa michezo kadhaa iliyopigwa kwenye viwanja mbalimbali nchini humo .

Katika mchezo wa kwanza uliopigwa kwenye uwanja wa Ewood Park mabingwa wa ligi ya England kwa msimu wa mwaka 94/95 Blackburn Rovers ambao siku hizi wanacheza ligi daraja la kwanza Blackburn Rovers waliwabana Manchester City kwa kuwalazimisha  sare ya 1-1 .

 City ndio walioanza kufunga kupitia kwa mshambuliaji wa kimtaifa wa Hispania Alvaro Negredo kabla Blackburn hawajasawazisha kupitia kwa Scot Dunn .

Matokeo haya yanamaanisha kuwa timu hizi zitarudiana katika mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa Manchester City wa Etihad katika tarehe itakayopangwa hapo baadaye.

Katika mchezo mwingine mkubwa wa mashindano hayo ya kombe la FA uliopigwa hii leo (Jumamosi) Arsenal wamewafunga watani wao wa jadi Tottenham Hotspurs kwa matokeo ya    2-0.

Mabao ya Arsenal kwenye mchezo huo yalifungwa na Santiago Cazorla na Tomas Rosicky.

You Might Also Like

Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’

Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga

Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’

TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Millard Ayo January 4, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Unataka kujua takwimu za Ajali za Treni Tanzania mwaka 2013? ziko hapa
Next Article Robert Lewandowski asaini kuichezea Bayern Munich.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
Sports August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
Sports August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
Sports August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022

You Might also Like

Entertainment

Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake

August 13, 2022
Entertainment

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani

August 12, 2022
Entertainment

Nandy ametuletea hii video mpya ya wimbo wake akiwa na Oxlade ‘Napona’

August 11, 2022
Entertainment

Meneja wa Diamond ‘Sallam’ atia neno baada ya Kizz Daniel kuwaomba radhi watanzania

August 10, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?