Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Siku tatu alizotoa Meya kwa Mkuu wa Mkoa Arusha
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > VIDEO: Siku tatu alizotoa Meya kwa Mkuu wa Mkoa Arusha
Mix

VIDEO: Siku tatu alizotoa Meya kwa Mkuu wa Mkoa Arusha

May 15, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Meya wa jiji la Arusha Kalist Lazaro amempa siku tatu kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa taarifa sahihi ya michango ya rambirambi zilizotolewa kwa familia za watu 36 waliofariki katika ajali iliyotokea Karatu Arusha.

Meya Kalist amesema >>>Kumekuwa na maneno mengi hapa Arusha kuhusu pesa za rambirambi, watu wamekuwa wakinipigia simu na kuuliza lakini kwavile hakuna mtu yeyote aliyehusika kukusanya na kutumia michango zaidi ya Mkuu wa Mkoa namtaka atoe ufafanuzi wa fedha zilizochangwa.

Nampa siku ya leo na kesho asipokuja hadharani kuwaeleza wananchi nama fedha zilivyotumika nitaweka hesabu niliyonayo mimi hadharani kwasababu wananchi waliopeleka hela kwa Mkuu wa Mkoa ni wa Arusha<<<- Meya Kalist Lazaro

Kufahamu kila kitu alichosema Meya Kalist Lazaro bonyeza p.y hapa chini kutazama.

VIDEO: Ulikosa kutazama video ya wanafunzi walionusurika kwenye ajali Arusha wakipelekwa Marekani kwa ndege? Tazama hapa

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Admin May 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article FULL LIST: Majina ya mastaa wanaowania tuzo za BET 2017
Next Article VIDEO: ‘Mnawezaje kuwafundishia wanafunzi vitabu vyenye makosa?’ -Doto Biteko
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022

You Might also Like

Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

August 17, 2022
Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

August 13, 2022
MixTop Stories

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

August 11, 2022
Mix

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?