Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha: Afisa Tarafa aongozana na wakuu wa Taasisi kutatua kero za Wananchi Kijiji cha Msomera
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha: Afisa Tarafa aongozana na wakuu wa Taasisi kutatua kero za Wananchi Kijiji cha Msomera
Top Stories

Picha: Afisa Tarafa aongozana na wakuu wa Taasisi kutatua kero za Wananchi Kijiji cha Msomera

January 11, 2023
Share
1 Min Read
.
SHARE

Ni Afisa Tarafa Sindeni ndg, Sijaona Bugufi ambapo amefanya kikao cha Utatuzi wa Kero za Wananchi zinazowakabili Wananchi wa Kijiji cha Msomera wageni walihamia kwahiyali kupisha uhifadhi katika hifadhi ya Ngorongoro na wenyeji waliopo kijiji cha Msomera.

Afisa huyo aliongozaana na wakuu wa Idara ya Halmashauri ya wilaya na Wakuu wa Taasisi zote Tarura, Tanesco, Ruwasa na NCAA

Kikao hicho kimefanywa baada ya maelekezo ya Mh Mkuu wa Wilaya ya Handeni kuhakikisha wananchi hao wanaishi kwa amani na utulivu.

Wananchi wameishukuru Serikali kwa hatua hiyo ya utatuzi wa changamoto ambapo changamoto kubwa ilikua ya ugawaji wa mashamba kwa wageni bila kuwapatia wenyeji kamaa alivyoelekeza Waziri Mkuu. Ambapo wageni nao watapatiwa mashamba yenye ukubwa wa ekari 5 zoezi linaenda kuanza mapema mwezi January mwishoni.

.
.
.
.
.

 

 

 

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA January 11, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article ‘Sio kwa Ubaya’ ya Mwana FA yazidi kung’ara kwenye mtandao wa Boomplay
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 12, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?