Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amenyimwa kibali cha kusafiri nje ya nchi na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu licha ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kumruhusu kiongozi huyo kusafiri.
Mbowe anyimwa kwenda Marekani “Spika kamruhusu Mahakama inakataa” (+video)
Leave a comment
Leave a comment