Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM
Top Stories

Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM

May 11, 2022
Share
1 Min Read
.
SHARE

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza kwenye Baraza Kuu la Chama hicho ameweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu Dar es Salaam.

“Nilipotoka gerezani nilipata mwaliko wa kwenda Ikulu, nilisita kidogo lakini sikujitiakiburi nilikwenda kuonana na Rais na sio Rais Samia pekee yake hata angekuwa IGP Sirro ningekwenda kumuona, wajibu wangu kama Kiongozi ni kuweka pride zangu chini kwenda kusimamia maslahi ya Chama chetu”- Mbowe

“Nilimwambia Rais Samia Taifa letu lina tatizo kubwa na linatuhitaji wote tunapaswa kuzungumza kutafakari ni nini kinachotenga Taifa letu, nilimwambia Rais kuna kuna mambo mengi ambayo kama Taifa yanatutenga kwasababu mliopo madarakani mmekubali Taifa letu kutengeneza matabaka”- Mbowe

“Nikamwambia Madam President mmekuwa mkihubiri amani, amani huku mkisahau msingi mkuu wa amani nao ni haki, nikamwabia nimechoka kuona Viongozi wangu wakipelekwa gerezani, sio sifa kuona Vijana wa CHADEMA wanapigwa risasi, nilimwambia Rais Samia kuwa tujenge misingi ya kuaminiana, niliamini katika kukutana ili kuliponya Taifa na kama njia ya kumaliza tofauti zetu”- Mbowe

“Ziara yangu kwenda kwa Rais Samia inaonekana ni jambo la miujiza, na inaonekana hivyo kwasababu tumejenga utamaduni wa kutoaminiana, akionekana Mpinzani Manakwenda Ikulu inaonekana pengine hapa pana biashara”- Mbowe

 

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

Edwin TZA May 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha mbalimbali kinachojiri kwenye mkutano wa baraza kuu la Chadema DSM
Next Article Hotuba nzima ya Profesa Mkenda kuhusu bajeti ya Wizara ya Elimu 2022/23
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?