Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM
Top Stories

Mbowe aweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu DSM

May 11, 2022
Share
1 Min Read
.
SHARE

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza kwenye Baraza Kuu la Chama hicho ameweka wazi alichomwambia Rais Samia Ikulu Dar es Salaam.

“Nilipotoka gerezani nilipata mwaliko wa kwenda Ikulu, nilisita kidogo lakini sikujitiakiburi nilikwenda kuonana na Rais na sio Rais Samia pekee yake hata angekuwa IGP Sirro ningekwenda kumuona, wajibu wangu kama Kiongozi ni kuweka pride zangu chini kwenda kusimamia maslahi ya Chama chetu”- Mbowe

“Nilimwambia Rais Samia Taifa letu lina tatizo kubwa na linatuhitaji wote tunapaswa kuzungumza kutafakari ni nini kinachotenga Taifa letu, nilimwambia Rais kuna kuna mambo mengi ambayo kama Taifa yanatutenga kwasababu mliopo madarakani mmekubali Taifa letu kutengeneza matabaka”- Mbowe

“Nikamwambia Madam President mmekuwa mkihubiri amani, amani huku mkisahau msingi mkuu wa amani nao ni haki, nikamwabia nimechoka kuona Viongozi wangu wakipelekwa gerezani, sio sifa kuona Vijana wa CHADEMA wanapigwa risasi, nilimwambia Rais Samia kuwa tujenge misingi ya kuaminiana, niliamini katika kukutana ili kuliponya Taifa na kama njia ya kumaliza tofauti zetu”- Mbowe

“Ziara yangu kwenda kwa Rais Samia inaonekana ni jambo la miujiza, na inaonekana hivyo kwasababu tumejenga utamaduni wa kutoaminiana, akionekana Mpinzani Manakwenda Ikulu inaonekana pengine hapa pana biashara”- Mbowe

 

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Edwin TZA May 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha mbalimbali kinachojiri kwenye mkutano wa baraza kuu la Chadema DSM
Next Article Hotuba nzima ya Profesa Mkenda kuhusu bajeti ya Wizara ya Elimu 2022/23
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?