Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji
Sports

Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji

June 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mbunge wa Makete, Festo Sanga amependekeza Serikali kuweka viwango vya mishahara ya Wachezaji wa mpira wa miguu Tanzania kwa madai kuwa wanafanya kazi kubwa na nzuri lakini malipo wanayopata ni kidogo sana.

Sanga ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023.

“Wachezaji wetu wanachangamoto ya maslahi, ni wakati sasa tuweke kiwango cha mishahara, wanacheza kwa jasho na damu wanalipwa Tsh 200,000, ikitokea wakilazwa hospitalini tunaanza kuchangishana, lazima tuweke kiwango mchezaji wa ligi kuu lazima alipwe Milioni 1 kwenda juu”

Baadhi ya nchi za Afrika kama Cameroon tayari wameanza kufanyia kazi suala la kiwango cha mishahara kwa wachezaji FCFA 100,000 ambapo ni zaidi ya Tsh 379,591, hiyo ikiwa ni miezi michache tu baada ya mchezaji wa zamanı wa Cameroon, FC Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o kushinda Urais wa shirikisho la soka Cameroon (FECAFOOT).

HAJI MANARA ATANGAZA KUMTAFUTA AHMED ALLY WA SIMBA “DOGO ANA MBINU ZAKE ZA KISASA”

You Might Also Like

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa Rais FIFA.

FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA June 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mabeyo kustaafu
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 7, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?