Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji
Sports

Mbunge Makete aomba kiwekwe kiwango cha mishahara kwa wachezaji

June 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mbunge wa Makete, Festo Sanga amependekeza Serikali kuweka viwango vya mishahara ya Wachezaji wa mpira wa miguu Tanzania kwa madai kuwa wanafanya kazi kubwa na nzuri lakini malipo wanayopata ni kidogo sana.

Sanga ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023.

“Wachezaji wetu wanachangamoto ya maslahi, ni wakati sasa tuweke kiwango cha mishahara, wanacheza kwa jasho na damu wanalipwa Tsh 200,000, ikitokea wakilazwa hospitalini tunaanza kuchangishana, lazima tuweke kiwango mchezaji wa ligi kuu lazima alipwe Milioni 1 kwenda juu”

Baadhi ya nchi za Afrika kama Cameroon tayari wameanza kufanyia kazi suala la kiwango cha mishahara kwa wachezaji FCFA 100,000 ambapo ni zaidi ya Tsh 379,591, hiyo ikiwa ni miezi michache tu baada ya mchezaji wa zamanı wa Cameroon, FC Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o kushinda Urais wa shirikisho la soka Cameroon (FECAFOOT).

HAJI MANARA ATANGAZA KUMTAFUTA AHMED ALLY WA SIMBA “DOGO ANA MBINU ZAKE ZA KISASA”

You Might Also Like

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA June 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mabeyo kustaafu
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 7, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?