Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbunge Mpina awaka Bungeni ishu ya mfumuko wa bei (video+)
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mbunge Mpina awaka Bungeni ishu ya mfumuko wa bei (video+)
Top Stories

Mbunge Mpina awaka Bungeni ishu ya mfumuko wa bei (video+)

February 2, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amedai kuwa suala la mfumuko wa bei nchini limesababishwa na usimamizi dhaifu wa sheria na usimamizi dhaifu wa sera za fedha licha ya kuzitambua sababu nyingine za Vita ya Ukraine na Covid 19 ambazo zimekuwa zikitajwa sana.

Mpina ametoa hoja hiyo leo Bungeni February 1, 2023 wakati akichangia mjadala wa kuhusu taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za kamati kwa mwaka 2022 pamoja na taarifa ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira.

“Huwezi ukacontrol mfumuko wa bei kama usimamizi wako wa bajeti hauko sawasawa, Tsh. Bilioni 350 tumemlipa Symbion, fedha ambazo hazipo kwenye bajeti lakini pia kama huwezi kupeleka fedha zilizopangwa kwenye maeneo husika hasa kwenye sekta muhimu kama kilimo, jana tumeambiwa mpaka February, 17% ya fedha ndizo zilizopelekwa, utacontrol vipi mfumuko wa bei?”

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

Edwin TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha: Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar afika Tanga afunguka haya
Next Article liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?