Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Good News kwa mtanzania Mbwana Samatta, msimu ujao 2016/2017 utamuona Europa League
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Good News kwa mtanzania Mbwana Samatta, msimu ujao 2016/2017 utamuona Europa League
Sports

Good News kwa mtanzania Mbwana Samatta, msimu ujao 2016/2017 utamuona Europa League

May 29, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Wakati timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Kenya bila ya nahodha wake Mbwana Samatta na kulazimishwa sare ya goli 1-1, Samatta allikuwa uwanjani nae akipambana kuhakikisha klabu yake ya KRC Genk inashiriki Europa League msimu wa 2016/2017.

KRC Genk imefanikiwa rasmi kupata nafasi ya kucheza Europa League msimu wa 2016/2017 baada ya kufanikiwa kuifunga Charleroi kwa jumla ya goli 5-1, Genk walianza kupata goli la uongozi kwa penati kupitia Nikolaos Karelis aliyefunga hat-trick dakika ya 20, 56 na 71 lakini Mbwana Samatta akafanikiwa kufunga goli dakika ya 27 kabla ya Sandy Walsh kufunga goli la tatu dakika ya 45.

gnk-cha-jpg_1464529519

Goli pekee la Charleroi lilifungwa na Jeremy Perbet dakika ya 40 ya mchezo, kwa matokeo hayo KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta watacheza michuano ya Europa League msimu wa 2016/2017 pamoja na vilabu vya Man United na Southampton, hiyo itakuwa ni fursa nyingine kwa Samatta kuonekana.

KRC Genk wataanzia katika hatua ya mtoano na kama watafuzu ndio watapangwa katika hatua ya Makundi ya Europa League, makundi ambayo yatachezeshwa droo hivyo inaweza ikatokea bahati Kwa KRC Genk ya Samatta kupangwa hata na klabu kubwa kama Man United endapo itafuzu mechi yake ya mtoano.

ALL GOALS: Fainali ya FA CUP May 25 2016 Yanga vs Azam FC, Full Time 3-1

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal

Jorginho yametimia Arsenal

Picha: Tazama wadau mbalimbali waliohudhuria kushuhudia mkataba wa Yanga na Haier

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA May 29, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Good News kwa muziki wa Afrika Chris Brown kampa dili Wizkid
Next Article VIDEO: Harmonize alivyompandisha kwenye stage mama yake na kumtambulisha Jackline Wolper
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?