Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Wizara ya Michezo imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 20
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Wizara ya Michezo imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 20
AyoTV

VIDEO: Wizara ya Michezo imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 20

May 13, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

May 13 2016 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewasilisha  Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 na Waziri mwenye dhamana hiyo Nape Nnauye.

Akisoma hotuba hiyo Nape amesema…’Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 Wizara imepanga kukusanya jumla ya shilingi Milioni mia nane ishirini na wlfu tano. (Sh.820,005,000) kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato‘

‘Makusanyo yameshuka kutoka Shilingi Bilioni moja, Mia tatu thelathini na elfu nane (Sh. 1,330,008,000) hadi Sh. 820,005,000 kutokana na makusanyo  yaliyokuwa yakikusanywa na Bodi ya Filamu katika sekta ya maendeleo ya utamaduni kutolewa‘

‘Ili Wizara iweze kutekeleza majukumu na amlengo yake ya mwaka wa fedha 2016/2017 naomba sasa bunge lako tukufu liidhinishe bajeti ya jumla ya Sh. 20,326,176,000 ambapo kati ya hizo, fedha za matumizi ya kawaida ni Sh. 17,326,176,00‘

ULIIKOSA HII DIAMOND NA MAFIKIZOLO WALIVYOKARIBISHWA BUNGENI ?

https://www.youtube.com/watch?v=OXjkIF0U6UE

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Kitabu kipya cha watoto kinachojulikana kama African Alphabet chazinduliwa

DR Mpango apongeza kukusanywa kwa Tsh Bilioni 1.05

DR Tulia aziomba taasisi za Kibenki kuangalia riba wanapotoa mikopo

BOT yatoa leseni ya Biashara kwa Pesapal

Ruvuma waongoza kitaifa kwa kutoa chanjo ya Uviko-19 kitaifa

TAGGED: Ayo TV, Bungeni, habari daily
Admin May 13, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 10: Mastaa wa Bongo Wema Sepetu, Masanja, JB na wengine walivyopokelewa Bungeni leo
Next Article VIDEO: Mtazame Mbunge Agness Marwa akitamani hata kulia kisa ishu ya Bunge Live
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?