Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mfahamu dereva wa ndugu abiria anae-trend mtandaoni afunguka
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mfahamu dereva wa ndugu abiria anae-trend mtandaoni afunguka
Top Stories

Mfahamu dereva wa ndugu abiria anae-trend mtandaoni afunguka

July 22, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Leo Ayo TV inakukutanisha na Waubani Mohamedi Linyama maarufu Ndugu Abiria ambae memes zenye picha yake zimetrend sana mitandaoni.

Umaarufu alioupata kwa muda mfupi kwake una simulizi nyingi zenye raha na karaha, miongoni mwa ambayo anakiri yanamkera ni Memes zenye maneno “Ndugu abiria naenda kuwamwaga’ maana anadai zinamchafua , lakini pia zile Memes zinazosema “Ndugu abiria nina stress za Mapenzi nitawamwaga” anasema zinamletea shida kwa Mke wake ambaye huhoji hizo stress za Mapenzi anazitolea wapi?.

Kingine ambacho hakimfurahishi ni kitendo cha Kampuni mbalimbali kutengeneza Memes zenye picha yake bila kumlipa pesa na anasema tayari Kampuni kadhaa ameanza kuzifuatilia ili azifikishe kwenye mikono ya sheria ikiwemo kampuni moja ya Bima ambayo anasema wakitaka wayamalize wamlipe Milioni 200.

MFAHAMU DEREVA WA NDUGU ABIRIA ANAE-TREND MTANDAONI, AFUNGUKA “MKE WANGU HAPENDI, NILIPWE MIL.200”

You Might Also Like

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

TAGGED: ayotventertainment
Edwin TZA July 22, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Tony Blair akutana na Rais Samia “Taasisi yake ipo tayari kusaidia chanjo” (+picha)
Next Article PICHA 8: Wasanii wa Nandy Festival wafika Ikulu ya Zanzibar
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?