Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mfahamu Ntibazonkiza jembe jipya la Yanga lililopambana na Di Maria Ufaransa
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mfahamu Ntibazonkiza jembe jipya la Yanga lililopambana na Di Maria Ufaransa
Sports

Mfahamu Ntibazonkiza jembe jipya la Yanga lililopambana na Di Maria Ufaransa

October 13, 2020
Share
2 Min Read
SHARE

Said Ntibanzonkiza ni mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Vitalo ya Burundi kabla ya jana Yanga SC kutangaza kumsajili kwa mkataba wa miezi 18.

Ntibazonkiza alizaliwa Mei 1 1987 Bujumbura Burundi na kuanza soka lake katika klabu ya VITAL’O akiwa bado mdogo.

Mwaka 2003 akiwa na umri wa miaka 16 alianza kuichezea timu ya wakubwa ya VITAL’O na kudumu hadi 2005 kisha akaanza safari ya kucheza soka Ulaya kwa kujiunga na klabu ya NEC ya Uholanzi na kudumu kwa miaka minne kuanzia 2006 hadi 2010 kisha akahamia Poland katika club ya KS Cracovia na kucheza kwa miaka minne tena akicheza mechi 85 na kufunga magoli yapatayo 17.

Upepo ukabadilika 2014 alipoanza kucheza Ligi Kuu Uturuki katika klabu ya Akshir alidumu kwa mwaka mmoja tu klabu ya Caen ya Ufaransa ikamuona na mwaka 2015 akaanza kucheza timu B na baadae timu ya wakubwa na kukipiga katika Ligi Kuu Ufaransa ambako alicheza mechi 14 na kufunga goli moja.

Safari ya soka haikuishia hapo kwa Ntibazonkiza, 2017 akahitimisha safari yake ya miaka 12 ya kucheza soka la kulipwa barani Ulaya kwa kuitumikia FC Kaisar ya Kazakhstan iliyopo Centray Asia kisha kurejea Burundi.

Uzoefu wake alioupata na bao zuri aliloifunga timu ya taifa ya Tanzania katika mchezo dhidi ya Burundi vilichochea viongozi wa Yanga kuamini kuwa ana uwezo wa kuisaidia timu yao.

You Might Also Like

Nimekuwekea Ratiba ya Mechi za Championship League, mtanange ni mkali

Kutokea China: Silent Ocean wametuonyesha namna wanavyopakia Mizigo ya Wafanyabiashara kuelekea Tanzania

Silent Ocean ‘Simba wa Bahari’, wametuonesha kila namna walivyompitisha mteja mpaka kufanikisha kile alichokihitaji

PICHA: GSM FC wazindua jezi mpya Ramadhan Cup

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA October 13, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kutana na Beatrice, Muuza keki mwenye masters zake 2
Next Article PICHA 9: Usiku huu jijini DSM foleni iliyosababishwa na mvua
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?