Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
September 22, 2023
Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.
Top Stories

Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.

March 14, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Iwao Hakamada, mfungwa ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 87, ndiye mfungwa aliyefungwa aliyeishi gerezani kwa muda mrefu zaidi huku akisubiri hukumu ya kifo, kulingana na shirika la haki za binadamu la kimataifa la Amnesty International.

Alihukumiwa kifo mwaka 1968 kwa maujai ya bosi wake, mke wa mwanaume huyo na waoto wao wawili katika mwaka 1966.

Mwanamasumbwi huyo wa zamani wa ndondi za kulipwa alikiri mauaji hayo baada kuhojiwa kwa siku 20 ambapo alisema alipigwa. Baadaye aliondoa ushahidi wake wa kukiri kosa mahakamani.

Makundi ya kutetea haki za kibinadamu yamekosoa utegemezi wa Japan kuhusu kukirimakosa, ambapo walisema polisi hutumia nguvu mara kwa mara kuwalazimisha washukiwa kukiri mashitaka.

Iwao Hakamada alikamatwa na kushutumiwa kwa wizi na mauaji ya muajiri wake na familia yake katika kiwanda cha kusindika soya kilichopo Shizuoka magharibi mwa jiji la Tokyo mwaka 1966 na walipatikana wakiwa wamekufa kwa kuchomwa kisu.

Katika kesi mpya, majaji watataka kubaini iwapo vinasaba DNA kutoka kwenye madoa ya damu iliyopatikana kwenye nguo inayodai wa kuvaliwa na muuaji vinafanana na na vya Bw Hakamada.

Hakamada, ambaye amekuwa nje kwa kuachiliwa kwa muda tangu 2014 kwa misingi ya kibinadamu, awali alikanusha madai hayo lakini baadaye alikiri, na kisha kudai kwamba polisi walikuwa wamemtisha na kumshambulia wakati wa siku 20 za mahojiano.

You Might Also Like

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’

Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF

GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka

Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 14, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 14, 2023
Next Article Rwanda: Maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo “BioNTech” barani Afrika.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
Top Stories September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
Top Stories September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
Top Stories September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
Sports September 22, 2023

You Might also Like

Sports

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

September 22, 2023
Sports

Xavi kuongeza mkataba wa Barcelona hadi 2025

September 22, 2023
Top Stories

Kuelekea fainali ya polisi jamii DPA cup mashabiki wajigamba afisa michezo atoa neno

September 22, 2023
Top Stories

UN yaitaka Iran kuachana na sheria mpya kuhusu hijab

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?