Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.
Top Stories

Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.

March 14, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Iwao Hakamada, mfungwa ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 87, ndiye mfungwa aliyefungwa aliyeishi gerezani kwa muda mrefu zaidi huku akisubiri hukumu ya kifo, kulingana na shirika la haki za binadamu la kimataifa la Amnesty International.

Alihukumiwa kifo mwaka 1968 kwa maujai ya bosi wake, mke wa mwanaume huyo na waoto wao wawili katika mwaka 1966.

Mwanamasumbwi huyo wa zamani wa ndondi za kulipwa alikiri mauaji hayo baada kuhojiwa kwa siku 20 ambapo alisema alipigwa. Baadaye aliondoa ushahidi wake wa kukiri kosa mahakamani.

Makundi ya kutetea haki za kibinadamu yamekosoa utegemezi wa Japan kuhusu kukirimakosa, ambapo walisema polisi hutumia nguvu mara kwa mara kuwalazimisha washukiwa kukiri mashitaka.

Iwao Hakamada alikamatwa na kushutumiwa kwa wizi na mauaji ya muajiri wake na familia yake katika kiwanda cha kusindika soya kilichopo Shizuoka magharibi mwa jiji la Tokyo mwaka 1966 na walipatikana wakiwa wamekufa kwa kuchomwa kisu.

Katika kesi mpya, majaji watataka kubaini iwapo vinasaba DNA kutoka kwenye madoa ya damu iliyopatikana kwenye nguo inayodai wa kuvaliwa na muuaji vinafanana na na vya Bw Hakamada.

Hakamada, ambaye amekuwa nje kwa kuachiliwa kwa muda tangu 2014 kwa misingi ya kibinadamu, awali alikanusha madai hayo lakini baadaye alikiri, na kisha kudai kwamba polisi walikuwa wamemtisha na kumshambulia wakati wa siku 20 za mahojiano.

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

TAGGED: TZA HABARI
Editor 2 March 14, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 14, 2023
Next Article Rwanda: Maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo “BioNTech” barani Afrika.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?