Leo August 1, 2018 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe ametoa maagizo kwa Mhandisi Mshauri wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kuwa ndani ya siku 7 aripoti TANROADS akiwa na nyaraka zake ili zifanyiwe kazi kwakuwa kazi zote za ujenzi wa viwanja vya ndege kwa sasa zitasimamiwa na TANROADS.
“Ujenzi wa viwanja vya ndege utasimamiwa na TANROADS”- Waziri Kamwelwe
Leave a comment
Leave a comment