Leo July 29, 2019 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amemteua Dr. Elirehema Joshua Doriye kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Doriye anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambae uteuzi wake umetenguliwa.
Uteuzi aliofanya Rais Magufuli muda huu, atumbua Mkurugenzi
Leave a comment
Leave a comment