Leo November 3, 2018 Staa wa Bongo Fleva Aslay yupo +254 Kenya kwa Uhuru Kenyatta, usipime mapokezi aliyoyapata. Nikukumbushe Aslay ni mmiliki wa hit single ya ‘ananikomoa’ inayo-trend kwa sasa na Kenya atafanya show huko Lodwar Kenya.
Aslay alivyopokelewa Kenya.. watu wakusanyika barabarani !
Leave a comment
Leave a comment