Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameagiza kukamatwa kwa Nabii Eliya Samwel Mahela wa Kanisa la Pentecostal Power Ministry la Kimara Temboni kutokana na wakazi wa eneo hilo kulalamikia Kanisa hilo kupiga makelele.
Nabii alivyokamatwa kwa agizo la Waziri Lugola (+video)
Leave a comment
Leave a comment