Mwili wa Mtangazaji Ephraim Kibonde ulivyoagwa leo Mwanza na Wakazi wa Mwanza waliojitokeza kwenye Hospital Bugando ambapo baada ya hapo ulipelekwa Airport kwa ajili ya kusafirishwa mpaka Dar es salaam atakakozikwa Jumamosi hii.
MAJONZI: Mwili wa Ephraim Kibonde umeagwa Mwanza na kusafirishwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment