Zoezi la kukinasua Kivuko cha Mv. Nyerere na kuokoa gari pamoja na mizigo mingine ilikuwa ndani ya maji limekamilika ni baada ya siku nane tangu kuzama kwa kivuko ndani ya ziwa Victoria na kuuwa watu 229, na 41 kujeruhiwa.
Tazama gari ilivyotolewa ndani ya maji, ilizama na Mv. Nyerere
Leave a comment
Leave a comment