Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maagizo kumi aliyotoa JPM akiwaapisha Makatibu wa wakuu, Ma-RC na Makatibu Tawala
Share
Notification Show More
Latest News
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Maagizo kumi aliyotoa JPM akiwaapisha Makatibu wa wakuu, Ma-RC na Makatibu Tawala
Top Stories

Maagizo kumi aliyotoa JPM akiwaapisha Makatibu wa wakuu, Ma-RC na Makatibu Tawala

August 1, 2018
Share
6 Min Read
SHARE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli leo August 1, 2018  amewaapisha Wakuu wa mikoa, Makatibu tawala, Makatibu wakuu na manaibu katibu wakuu wa wizara ambapo ametoa Maagizo mbalimbali baada ya kuwaapisha, hapa nakusogezea MAAGIZO KUMI.

Agizo la Kwanza alilotoa JPM ni “Kuna mkubwa mmoja alifanya mambo ya hovyo Wizarani, nikamuuliza Waziri kwanini usimtengue? akasema hana Mamlaka, nikampa DK 15 nikamwambia kasome Sheria ukikuta ni Mimi nina mamlaka namtengua nakutengua na wewe, ndani ya dakika tano akamtengua” Rais Magufuli

“Kuna mkubwa mmoja alifanya mambo ya hovyo Wizarani, nikamuuliza Waziri kwanini usimtengue? akasema hana Mamlaka, nikampa DK 15 nikamwambia kasome Sheria ukikuta ni Mimi nina mamlaka namtengua nakutengua na wewe, ndani ya dakika tano akamtengua” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/JrbFVyaJ7x

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Agizo la Pili ni kuwa na ushirikiano “Unakuta RC hawaongei na RAS naomba mkashirikiane maana sisi tungekua hatuongei sidhani kama tungekuwa hapa hivyo mkajenge mahusiano na wale mnaowaongoza maana mmepewa majukumu makubwa na nchi hivyo mkayatumie vizuri” Rais Magufuli

“Unakuta RC hawaongei na RAS naomba mkashirikiane maana sisi tungekua hatuongei sidhani kama tungekuwa hapa hivyo mkajenge mahusiano na wale mnaowaongoza maana mmepewa majukumu makubwa na nchi hivyo mkayatumie vizuri” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/EZ8oafjLPG

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Agizo la Tatu ni kuelewa majukumu yao “Mkienda huko mkafanye kazi, mawaziri mzielewe wizara zenu, kuna baadhi ya mawaziri hamzijui vizuri wizara zenu” Rais Magufuli

“Mkienda huko mkafanye kazi, mawaziri mzielewe wizara zenu, kuna baadhi ya mawaziri hamzijui vizuri wizara zenu” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/f6MywgyPN2

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Agizo la Nne alilotoa JPM leo ni msisitizo suala la ukusanyaji mapato “Sasa mimi huku Rais nakazania mapato, wewe Rais wa mkoa umeshindwa kusimamia mapato sasa kwanini nisijiulize kwamba hufai” Rais Magufuli

“Sasa mimi huku Rais nakazania mapato, wewe Rais wa mkoa umeshindwa kusimamia mapato sasa kwanini nisijiulize kwamba hufai” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/367JESVJ8k

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Agizo la Tano ni kuhakikisha wanatatua kero za wananchi “Utakuta hata machinga wanasimama barabarani hawana mahali pa kufanyia biashara, wakina mama wamezulumiwa lakini viongozi wapo, hivyo nataka niwaambie viongozi mlioteuliwa hakuna mwenye garantii ya kazi” Rais Magufuli

“Utakuta hata machinga wanasimama barabarani hawana mahali pa kufanyia biashara, wakina mama wamezulumiwa lakini viongozi wapo, hivyo nataka niwaambie viongozi mlioteuliwa hakuna mwenye garantii ya kazi” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/gy6OF3jWdu

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018

Agizo la Sita kuhakikisha wanafanyakazi za Wananchi “Sisi wote Viongozi tutambue kwamba Mungu aliamua tukatumikie nafasi hizi kwa manufaa ya watanzania Milioni 55 na inabidi kuwatanguliza mbele watanzania kwanza” Rais Magufuli

“Sisi wote Viongozi tutambue kwamba Mungu aliamua tukatumikie nafasi hizi kwa manufaa ya watanzania Milioni 55 na inabidi kuwatanguliza mbele watanzania kwanza” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/y54lQHHj45

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Agizo la Saba amewaeleza kuwa kikubwa ni kuwajibika na hakuna anaestahili zaidi ya mwingine “Waziri Mkuu sijui nilimchaguaje, kuna watu walivaa suti wakaenda Dodoma wamejiandaa kuwa Mawaziri Wakuu lakini hawakuwa akawa Kassim Majaliwa lakini haina mana kwamba Majaliwa ndio muhimu na anastahili sana kuwa Waziri Mkuu” Rais Magufuli akiapisha Ikulu leo.

“Waziri Mkuu sijui nilimchaguaje, kuna watu walivaa suti wakaenda Dodoma wamejiandaa kuwa Mawaziri Wakuu lakini hawakuwa akawa Kassim Majaliwa lakini haina mana kwamba Majaliwa ndio muhimu na anastahili sana kuwa Waziri Mkuu” Rais Magufuli akiapisha Ikulu leo.#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/CSgJUmso5I

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Jambo la Nane JPM amewaeleza ilivyokuwa kazi ngumu kuwapata aliowateua “Kazi ya kuwapata nyinyi haikua rahisi nimekaa na majina yenu kwa miezi minne wapo waliopungua na wapo walioongezeka hivyo unaweza ukaona kutafuta kiongozi ni kazi ngumu” Rais Magufuli 

“Kazi ya kuwapata nyinyi haikua rahisi nimekaa na majina yenu kwa miezi minne wapo waliopungua na wapo walioongezeka hivyo unaweza ukaona kutafuta kiongozi ni kazi ngumu” Rais Magufuli #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/rtOsCekE0C

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Jambo la Tisa ni kwa wanaosema ameteua wapinzani “Wapo niliowateua, wengine wakasema nimewachagua wa upinzani, hivi kuna mpinzani wa Tanzania? Mtu kama Kafulila huyu alieipigania sakata la IPTL utasema ni mpinzani? Huyu si mpinzani huyu alikuwa anatekeleza vilivyo ilani ya CCM” Rais Magufuli 

“Wapo niliowateua, wengine wakasema nimewachagua wa upinzani, hivi kuna mpinzani wa Tanzania? Mtu kama Kafulila huyu alieipigania sakata la IPTL utasema ni mpinzani? Huyu si mpinzani huyu alikuwa anatekeleza vilivyo ilani ya CCM” Rais Magufuli #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/C1S9JDWdvg

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018


Jambo la 10 na la mwisho ni mfano alioutoa kwa wanaombeza kuteua wapinzani “Hivi ndugu zangu ukiteka vifaru, bunduki, hivi utaziweka kwenye stoo au utazipeleka zikatumike kuwashambulia hao hao maadui? Pia ukiwateka Mabrigedia na Mameja utawaacha au uwapeleke kulekule wakawe chambo ya kufanya vita inoge na mshinde” Rais Magufuli

“Hivi ndugu zangu ukiteka vifaru, bunduki, hivi utaziweka kwenye stoo au utazipeleka zikatumike kuwashambulia hao hao maadui? Pia ukiwateka Mabrigedia na Mameja utawaacha au uwapeleke kulekule wakawe chambo ya kufanya vita inoge na mshinde” Rais Magufuli#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/btHpb2mmW3

— millardayo (@millardayo_) August 1, 2018

RC Mpya Iringa Ally Hapi alivyoapishwa na Rais Magufuli Ikulu

 

You Might Also Like

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo August 1, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article ACT WAZALENDO: Lazima ‘tumnyooshe’ Kangi Lugola (+video)
Next Article Watanzania wawili wanaosakwa na Polisi Marekani (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?