Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Watu 7 wafariki gari la CAG na la PSSSF yakigongana uso kwa uso
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
February 2, 2023
Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > BREAKING: Watu 7 wafariki gari la CAG na la PSSSF yakigongana uso kwa uso
Top Stories

BREAKING: Watu 7 wafariki gari la CAG na la PSSSF yakigongana uso kwa uso

November 3, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Watu saba waliokuwa wakisafiri katika gari lenye namba za usajili STL 6250 mali ya CAG wamefariki papo hapo na wengine wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari lenye namba SU 41173 mali ya PSSSF, katika eneo la Chalinze Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma leo.

Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na inasemekana Watu waliofariki katika ajali ya gari hiyo ni dereva wa ofisi CAG na wengine 6 ni ndugu wa Naibu CAG waliokuwa wakitoka katika msiba Chato mkoani Geita.

“Sita waliofariki wapo Hospitali ya Kongwa, Dereva yupo Hospitali ya Rufaa ya Dodoma, kulikuwa na gari imeharibika barabarani aina Leyland, hii STL iligonga nyuma kabla ya kugongana uso kwa uso na ya PSSSF ila tunaendelea na uchunguzi” Muroto

Ukweli kuhusu Balozi wa Umoja wa Ulaya kudaiwa kufukuzwa Tanzania

 

You Might Also Like

Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe

Bilioni 3.2 zatolewa kwa Wajasiriamali 16 wa Nishati safi ya kupikia

Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama

Gharama ya kupunguza uzito kwa puto, madhara yake?, Msechu Kilo 7 zimepungua

Wanaorekodi video video za matukio Shuleni waonywa

TAGGED: Breaking news, TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 3, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE MAGAZETI: Zitto atoka mahabusu na moto mpya, Afya ya Mbowe yatia shaka
Next Article Dudubaya aitwa Kituo cha Polisi Oysterbay, tazama alivyowasili (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
Top Stories February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
Sports February 2, 2023

You Might also Like

Sports

Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika

February 2, 2023
Sports

Mchezaji mwenye umri mkubwa (55) asaini Ureno

February 2, 2023
Sports

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

February 1, 2023
Sports

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

February 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?