Leo October 5, 2018 Zuchzuchero ameingia mtaani ambapo alikuwa na swali moja kwa watu aliokutana nao akiwemo Msanii wa Bongo fleva Bright. Swali lililoulizwa ni >>> Utafanyaje endapo upo ndani ya daladala na anatokea Mwanaume usiyemjua anakulipia nauli?…Bonyeza PLAY hapa chini kutazama majibu
Bright kulipiwa nauli na Mwanaume “Inawezekanaje Mi kidume, ushubwada huo”
Leave a comment
Leave a comment