Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jamaa aliedharau agizo la Rais Magufuli kuhusu Korosho (+video)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Jamaa aliedharau agizo la Rais Magufuli kuhusu Korosho (+video)
Top Stories

Jamaa aliedharau agizo la Rais Magufuli kuhusu Korosho (+video)

November 14, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

November 12 2018 Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli alisema kuwa korosho zote nchini zitanunuliwa na serikali kwa bei ya shilingi 3300 kwa kilo moja jambo ambalo wakulima wa korosho wa mikoa ya kusini wamelipokea kwa furaha sana,

Leo Mtwara wilaya ya Newala kuna baadhi watu baada ya kuona bei ni kubwa ya korosho wameanza kuingiza korosho kutoka nchi jirani ya Msumbiji kimagendo kuja kuuza nchini.

AyoTV imepiga kambi katika wilaya ya Newala ambapo Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo amefanya msako mkali katika mipaka wa Tanzania na Msumbiji na kukuta mtu akiingiza gunia zaidi 90 zenye uzito wa kilo 100 kila moja.

Alivyojitetea jamaa aliedharau agizo la Rais Magufuli kuhusu korosho Mtwara

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 14, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO:Ushuhuda wa Nancy Sumari baada ya kuonekana duka la DANUBE HOME
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania November 15 Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?