Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Kissa Kasongwa amesikitishwa baada ya kuona Watoto jamii ya Wamasai katika Kijiji cha Nainyogie wakisoma katika darasa la miti na kutatua tatizo hilo mara moja kwa kuwatafuta Wafadhili kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.
Darasa wanalosoma Wamasai Tanga, alichofanya DC Korogwe kuwaokoa (+video)
Leave a comment
Leave a comment