Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wakulima wa mihogo wapewa mafunzo Kilindi
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Wakulima wa mihogo wapewa mafunzo Kilindi
Top Stories

Wakulima wa mihogo wapewa mafunzo Kilindi

September 2, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu ya namna ya kuhakikisha usalama na ubora wa bidhaa za Muhogo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Afisa Udhibiti Ubora TBS, Bi.Ashura Kilewela amesema pamoja na umuhimu wa zao la muhogo kwa chakula, zao hilo huathiriwa na kemikali ya sumu asili (Natural toxin) ambayo hutokana na uwepo wa kemikali inayozalishwa na mmea wenyewe inayoitwa Sianidi.

“Kiasi cha kemikali ya sianidi katika muhogo hutofautiana kutegemea na aina ya muhogo husika na ladha yake. Kuna muhogo mtamu, aina hii ya muhogo ina ladha tamu na kiasi kidogo cha kemikali ya sianidi, pia kuna muhogo michungu, muhogo hii ina ladha chungu na ina kiasi kikubwa cha kemikali ya sianidi”. Amesema Bi.Ashura.

Amesema inafahamika aina ya udongo huchangia kuongezeka au kupungua kwa Sianidi katika muhogo.Kipaumbele kimewekwa kwenye athari za kilimo zisizo sahihi, uchakataji na usindikaji wa muhogo huchukua miezi 8-12 hadi muda wa kuvuna na mingine hadi miezi 24.

Aidha Bi.Ashura amesema mlaji anaweza kupata madhara ya kiafya yatokanayo na sumu asili aina ya sianidi endapo atakula chakula kitokanacho na muhogo chenye kiasi kikubwa cha kemikali hiyo. Chakula hicho kinaweza kuwa muhogo uliomenywa na kuliwa mbichi, kupikwa, bidhaa zitokanazo na muhogo au majani yake (kisamvu).

“Madhara ya sianidi yanaweza kutokea baada ya muda mfupi au mrefu kutegemea na kiasi cha kemikali hiyo kwenye chakula kilicholiwa , umri na hali ya afya ya mlaji”. Ameeleza Bi.Ashura.

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA September 2, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 2, 2021
Next Article Rais Samia kuhusu tozo “Tumepunguza asilimia 30%, sitaki kuwaficha” (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?