Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Namna 88.5 Dar es salaam walivyokusanyika kwenye kilele cha miaka 14 ya Clouds Fm
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Namna 88.5 Dar es salaam walivyokusanyika kwenye kilele cha miaka 14 ya Clouds Fm
Habari za Mastaa

Namna 88.5 Dar es salaam walivyokusanyika kwenye kilele cha miaka 14 ya Clouds Fm

January 1, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

DSC_0113Leo ni ile siku ambayo ilikua ikisubiriwa kwa hamu na wakazi wa 88.5 Dar es salaam siku ya kilele cha miaka 14 ya Clouds Fm ambapo timu ya Clouds Fm ilianza sherehe hizi kwa kutembelea watu wenye matatizo mbalimbali.

DSC_0308Miongoni mwa sehemu zilizotembelewa leo ni pamoja na Hospital ya wilaya ya Temeke kisha kuelekea kwa jamaa ambaye anamiliki kituo cha kulea watu walioathirika na madawa ya kulevya kiitwacho Keko Machungwa Youth Centre ambacho kipo Keko Machungwa na mmiliki wa kituo hicho ni Yohana au Ctn kama wanavyomwita.

DSC_0047Baada ya hayo kukamilika ndipo timu ikasogea viwanja vya Mwembe Yanga ambapo umati mkubwa wa watu wa rika mbalimbali walijitokeza kufurahi pamoja na familia ya Clouds FM ambayo ilikua pale.

DSC_0295Jukwaa lilimilikiwa na wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva ikiwa ni pamoja na Rich Mavoko,Fid Q,Makomando,Barnaba,Linex,Chegge na Temba,Mkubwa na wanawe,Madee,Shettah na wengine kibao.

Hizi ni baadhi ya picha za kilicho-happen MwembeYanga kwenye sherehe za Miaka 14 ya Clouds Fm

DSC_0137

DSC_0321

DSC_0317

DSC_0313

DSC_0156

DSC_0151

DSC_0105

DSC_0099

DSC_0096

DSC_0130

DSC_0078

DSC_0073

 

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Millard Ayo January 1, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Taarifa ya Ikulu kuhusu kifo cha Waziri wa fedha William Mgimwa.
Next Article Magazeti ya leo January 02 2014
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?