Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa Ebola hapa nchini, yawataka wananchi Mikoa yote kuchukua tahadhari ugonjwa usiingie nchini, tazama LIVE kwa kubonyeza PLAY hapa chini.
LIVE: Ishu ya Ebola Tanzania Waziri wa Afya anazungumza
Leave a comment
Leave a comment