Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mkali wa Amapiano kutumbuiza Kidimbwi Beach Dar , ifahamu ngoma aliyoimba na Mtanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Mkali wa Amapiano kutumbuiza Kidimbwi Beach Dar , ifahamu ngoma aliyoimba na Mtanzania
Habari za Mastaa

Mkali wa Amapiano kutumbuiza Kidimbwi Beach Dar , ifahamu ngoma aliyoimba na Mtanzania

May 21, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Ikiwa bado Afrika Kusini wanaendelea kuchukua vichwa vya habari hususani kupitia muziki wao unaopeta kwasasa kwenye chart mbalimbali.

Sasa taarifa ninayotaka kukupatia ni kwamba Mkali kutokea nchini humo aitwae Musa Keys anatarajiwa kutumbuiza pembeni mwa fukwe za bahari maarufu kama Kidimbwi Beach iliyopo Mbezi  Dar es Salaam.

Miongoni mwa ngoma alizowahi kusikika ni hii akiwa na mtanzania Loui iitwayo Selema.

Selema ni kati ya ngoma pendwa inayofanya vizuri  hususani kupitia platform mbalimbali ikiwemo Spotify na nyinginezo.

Hata siku za hivi karibuni Msanii Loui alipofanya mkutano na Waandishi wa Habari alikiri na kutoa shukrani kwa Musa Keys kwani kupitia ngoma ya Selema mafanikio yameanza kuonekana hususani nchini Afrika Kusini.

Musa Keys anatarajiwa kutumbuiza siku ya Jumapili Mei 22, 2022 katika fukwe za bahari Dar es Salaam maarufu kama Kidimbwi Beach.

 

 

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

Edwin TZA May 21, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichofunguka Miss Tanzania kwa mara ya kwanza baada ya kushinda taji la Umiss
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 22, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?