Ujumbe wa Rambirambi Kutoka Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania “Tunaungana na familia ya Mkapa na Watanzania wote katika kuomboleza msiba huu, aidha, tunatafakari na kukumbuka tukiwa na wingi wa shukrani, mchango wake adhimu kwa mafanikio na maendeleo ya Tanzania na ya kanda nzima kwa upana wake.”
“Mkapa alijitolea maisha yake kwa Tanzania” Ubalozi wa Marekani
Leave a comment
Leave a comment
- Advertisement -
Latest News
‘Elimu ya Mjinga ni majungu’- Waziri Silaa
Top Stories
April 23, 2024