Kwa sasa Mtoto aliyelawitiwa na Mtu asiyejulikana Mkoani Kigoma anaishi kwa shangazi yake Dotto Haruna katika eneo la Ujiji ambaye ndie aliegundua kuwa Mtoto huyo alilawitiwa baada ya kuona anashindwa kupata haja kubwa na haja ndogo vizuri ndipo alipochukua jukumu la kumlazimisha kusema nini kilichomsibu na kuamua kuongea ukweli.
Aunt wa Mtoto alielawitiwa hajaficha jambo “Wazazi wake waligombana, Mtoto ashaharibika” (+video)
Leave a comment
Leave a comment