Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mlipuko mwingine wa Corona watabiriwa kipindi cha baridi
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mlipuko mwingine wa Corona watabiriwa kipindi cha baridi
Top Stories

Mlipuko mwingine wa Corona watabiriwa kipindi cha baridi

April 22, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Mkurugenzi wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa (CDC) cha nchini Marekani, Robert Redfield amesema kuna uwezekano mlipuko wa pili wa COVID 19 ukatokea msimu wa baridi, wakati wa kipindi cha mafua.

Kauli yake inakuja baada ya Magavana kadhaa kulegeza masharti yaliyowekwa kudhibiti maambukizi ya Corona Virus ili kufungua uchumi katika majimbo yao licha ya ongezeko kubwa la waathirika.

Amesema, mlipuko wa pili unaweza kuwa na athari kubwa zaidi kuliko hali ilivyo hivi sasa kwani nchi hiyo itakuwa inakabiliwa na magonjwa mawili kwa wakati mmoja. Marekani imerekodi visa 819,164, vifo 45,340 na waliopona 82,973 hadi kufikia asubuhi ya leo.

MAPAMBANO DHIDI YA CORONA: VYOMBO VYA HABARI 10 VYAPEWA SANITIZER

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA April 22, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article #LIVE MAGAZETI: Mazishi ya Mchungaji Rwakatare utata, Wanasheria watoa tamko janga la Corona
Next Article Mlinzi akutwa na Corona, Rais ajitenga siku 14
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?