Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO
Top Stories

Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO

March 17, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Visa vya virusi vya polio vinavyotokana na aina ya 2 (cVDPV2) vimegunduliwa kwa mtoto wa miaka minne kutoka wilaya ya Isalé, magharibi mwa Burundi, ambaye hakuwa amechanjwa dhidi ya ugonjwa wa polio, pamoja na watoto wengine wawili ambao walitangamana na mvulana huyo wa miaka minne,WHO imesema katika taarifa.

Sampuli tano kutoka kwa idara ya ukaguzi wa mazingira ya maji machafu pia zimethibitisha uwepo wa virusi vya polio, taarifa hiyo imebainisha.

Kwa mujibu wa WHO, serikali ya Burundi, ambayo imetangaza kugunduliwa kwa virusi hivyo kama “dharura ya kitaifa ya afya ya umma”, inapanga kuanzisha kampeni ya chanjo ya polio ili kuwalinda watoto wote wenye umri wa miaka 0-7 dhidi ya virusi hivyo.

“Polio inaambukiza sana na ni muhimu kuchukua hatua haraka ili kuwalinda watoto kupitia chanjo inayofaa,” amesema Dk Matshidiso Moeti, Mkurugenzi wa WHO katika kanda ya Afrika.

Afisa huyo anasema shirika lake linaunga mkono

juhudi za kitaifa za kuongeza chanjo ya polio ili kuhakikiha kwama hakuna mtoto anayeachwa nyuma na hatari ya athari za ugonjwa huo.

Kulingana na WHO, kuzunguka kwa virusi vya polio aina ya 2 ndio aina ya kawaida ya polio barani Afrika na milipuko ya aina hii ya virusi vya polio ndio inayotokea zaidi na zaidi ya kesi 400 za kupooza kwa papo hapo kuripotiwa katika nchi 14 zilizoathirika mwaka 2022.

You Might Also Like

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

TAGGED: TZA HABARI
Editor 2 March 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Watu saba waburuzwa Mahakamani kisa vurugu mgodini Mirerani
Next Article Mahakama ya kimataifa ‘ICC’ imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais Putin
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?