Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Steven Kebwe amezungumzia hatua ambazo wao kama Mkoa wamechukua kufuatia ajali iliyotokea Mkoani humo asubuhi ya leo ambapo amesema Madaktari wote wamekusanyika katika Hospitali moja ili kutoa huduma.
RC Morogoro aeleza hatua walizochukua ‘tumewahamisha wote” (+video)
Leave a comment
Leave a comment