Miraji Mtaturu (CCM), Mbunge mpya wa Singida Mashariki aliyekalia kiti hicho baada ya Tundu Lissu (CHADEMA) kutangazwa kuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo, ameapishwaleo Septemba 3, 2019 bungeni jijini Dodoma.
LIVE BUNGENI: Anaapishwa Mrithi wa Tundu Lissu, Lukuvi achukua nafasi ya Waziri Mkuu
Leave a comment
Leave a comment