Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mpeche wa Kigamboni ahukumiwa miaka 30 jela
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mpeche wa Kigamboni ahukumiwa miaka 30 jela
Top Stories

Mpeche wa Kigamboni ahukumiwa miaka 30 jela

January 2, 2023
Share
1 Min Read
Judge gavel and scale in court. Library with lot of books in background
SHARE

Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni jijini Dares Salaam imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mshatakiwa Ally Yusuph Issa maarufu kama Mpeche, kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin.

Hukumu hiyo imetolewa siku ya ljumaa tarehe 30 Disemba 2022 na Hakimu Mgaya baada ya mtuhumiwa kukiri kosa la kusafirisha dawa hizo kinyume cha sheria.

Ally alikamatwa tarehe 9 Disemba, 2022 katika eneo la Kibugumo kwa mbuzi wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam akiwa na wenzake wawili ambao ni Abdulrahman Ally Sinauwanja Mariam Yahya Fundi wakiwa na gramu 75.62 za dawa za kulevya aina ya heroin na kufunguliwa kesi ya jinai namba 89 ya mwaka 2022.

Hata hivyo, washtakiwa wengine wawili walikana shtaka hilo, hivyo kesi dhidi yao inatarajwa kutajwa mahakamani hapo tarehe 4 Januari 2023.

INASIKITISHA BABA, MAMA, WATOTO 4 WAFARIKI AJALINI, GARI YAO NYANG’ANYANG’A

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 2, 2023
Next Article Baba, Mama, Watoto 4 wafariki ajalini, gari yao nyang’anyang’a (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?