Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
September 27, 2023
CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
September 27, 2023
Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

May 30, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Bernice Kariuki, Mkenya mwenye maono makubwa ambaye anahudumu alihudumu  kama mpishi wa binafsi wa timu ya kwanza ya klabu ya London, Arsenal. Huku baadhi ya mashabiki wapenzi kabisa wa Arsenal wakiwa na ndoto ya kukutana na wachezaji wanaowaenzi siku moja, Bernice yeye alikuwa ana nafasi ya kipekee ya kuwapikia chakula.

Upendo wake kwa mapishi ulimsaidia kupata kazi katika mahoteli ya kifahari nchini Uingereza kama mpishi na amewahi kufanya kazi na mahoteli kama vile The Lanesborough, The Dorchester na The Waldorf Hilton London miongoni mwa nyingine. Lakini kile anajivunia zaidi kwani alikuwa mpishi binafsi wa timu ya  Arsenal, nafasi aliyopata wakati Gunners walipomteua Mikel Arteta kuwa kocha wao.

Akihudumu chini ya uongozi wa Darren Taylor, Mpishi Mkuu wa Arsenal, jukumu lake Bernice lilikuwa ni kuwapikia wachezaji wa timu  na wanachama wa ushauri na uongozi wa timu hiyo.

Sasa Bernice Kariuki ametangaza kuacha kazi Arsenal, timu ya soka ya Ligi Kuu ya Uingereza baada ya miaka miwili.

Chini ya uongozi wa mpishi mkuu wa Arsenal, Kariuki amekuwa mpishi wa wachezaji wa kikosi cha kwanza, uongozi na benchi wataalamu wa ufundi la klabu hiyo.

Akitangaza kuondoka kwake kupitia mtandao wa kijamii Jumapili, alisema kampeni ya Arsenal 2022/2023 ndio ilikuwa mwaka wao mzuri zaidi,akibainisha kuwa ilikuwa jambo la kufurahisha kufanya kazi kwa klabu hiyo.

“Siku ya mwisho inashamiri Ilimaliza msimu kwa kishindo! Bora zaidi!!! Arsenal… Arsenal… Arsenal.. 2020/2023 msimu bora zaidi kuwahi kutokea ninapoondoka kama mpishi wa kujivunia, imekuwa heshima kufanyia kazi klabu bora zaidi duniani… kwa unyenyekevu!” aliandika.

Mpishi huyo pia aliwashukuru Wakenya kwa kumuunga mkono, na kuongeza: “Baraka zaidi katika kazi yangu ijayo ni kama ndoto ya kifalme… Asanteni sana hasa nchi yangu.”

Kariuki alijiunga na Arsenal katikati ya 2021, baada ya Mikel Arteta kuteuliwa kama meneja wa Arsenal, kama mpishi wa kibinafsi wa kikosi cha kwanza

You Might Also Like

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike

Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 30, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article ‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
Next Article Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
Top Stories September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
Top Stories September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
Top Stories September 27, 2023
CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Top Stories

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

September 27, 2023
Top Stories

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

September 27, 2023
Top Stories

Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?