Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Airport kuzindua Mradi wa kuwajengea uwezo Vijana kujiajiri na kuajirika katika Uchumi wa Buluu (SEBEP).
Mradi wa kuwajengea uwezo Vijana kujiajiri na kuajirika kuzinduliwa ZNZ
Leave a comment
Leave a comment