Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mrembo aliyeshirikishwa kwenye Mama Amina ya Marioo, kuinogesha DAR Maison Club
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Mrembo aliyeshirikishwa kwenye Mama Amina ya Marioo, kuinogesha DAR Maison Club
Habari za Mastaa

Mrembo aliyeshirikishwa kwenye Mama Amina ya Marioo, kuinogesha DAR Maison Club

May 21, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

N msanii wa kike kutokea Afrika Kusini,  Bontle Smith ambae Mei 21, 2022  usiku wa leo anatarajiwa kuwaimbia  watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kama Amapiano.

Mrembo huyo atawaburudisha watanzania wakaofika Maison Club iliyopo Masaki Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mmiliki wa Club hiyo Bw. Amour Shamte alisema lengo sio tu wasanii wakigeni kuja kutoa burudani bali pia kufungua milango kwa wasanii wa ndani kufanya nao Collabo.

‘Kwanza hii si mara ya kwanza kwa Uongozi wetu kuwaleta wasanii wa namna hii kwetu sisi ni muendelezo wa burudani na tumekuwa na huu utamaduni wa siku nyingi tu wa kuwaleta wasanii wakubwa kufanya shows hapa nyumbani Tanzania’- Amour Shamte

 ‘Pia kuna wakati tunatoa fursa kwa wasanii wa ndani kuchangamkia fursa za collabo’- Amour Shamte

‘Na Leo Mei 21, 2022 tutakuwa na msanii wa kike kutoka Afrika Kusini anaitwa Bontle ambae ni miongoni mwa wasanii wa kike wanaofanya vizuri Afrika Kusini lakini pia ameshafanya collabo na Marioo’- Amour Shamte

“Nisingependa kuelezea mengi ila napenda kuwakaribisha watanzania waje leo Maison washuhudie kile kilichoandaliwa kutoka kwa Bontle Smith’- Amour Shamte

Unaweza ukaitazama hapa Collabo ya Marioo na Mrembo Bontle Smith ambae usiku wa leo atakutana na mashabiki zake Maison Club.

 

 

 

 

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Edwin TZA May 21, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Live: Rais Samia akiwaapisha Viongozi wateule, Ikulu Chamwino
Next Article Rais Samia aeleza ugumu aliyoupitia wakati akimuapisha aliyewahi kuwa Mwalimu wake Sekondari (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?