Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Maamuzi ya Waziri Nchemba baada ya kutembelea hii shule
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Maamuzi ya Waziri Nchemba baada ya kutembelea hii shule
AyoTVTop Stories

VIDEO: Maamuzi ya Waziri Nchemba baada ya kutembelea hii shule

August 18, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye ni Mbunge wa la Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba ameendelea na ziara yake kutembela kila Kijiji katika kila Kata zilizopo Jimboni mwake kuzungumza na wapiga kura na kukagua shughuli mbalimbali za kimaendeleo.

Leo ametembela Kijiji cha Ujungu katika Kata ya Mekente na kukuta ubovu wa miundombinu katika Shule ya Msingi Ujungu katika kijiji hicho huku Walimu wakiishi katika mazingira magumu ambapo aliamua kulibeba jukumu la kuboresha miundombinu akiahidi kulishughulikia mapema iwezekanavyo.

Waziri Nchemba amesema…>>>“Kwa kazi nzuri mnayoifanya naahidi leoleo kwa kushirikiana na marafiki zangu tutatengeneza mkaakti wa kushughulikia ukarabati wa madarasa pamoja na nyumba za walimu, walimu tisa kukaa kwenye nyumba tatu hesabu hii haina uwiano kabisa”

“Hii ni hatua moja kubwa sana na baada ya miaka 15,20 utaona Mbunge anatoka huku, kwasababu hata kijijini nilipotoka walikuwa wanapaita kijijini hivihivi kwa hiyo nitakarabati darasa kama njia ya kuweka mfano bora” –Waziri Nchemba

Kwenye hii video kuna kila kitu…bonyeza play kutazama!!!

Kitu Waziri Nchemba ameagiza baada ya ajali ya moto wa Mbeya 

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: Ayo TV, habari daily, mwigulunchemba, TZA HABARI
Admin August 18, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Baada ya P Funk kukuta msg za mapenzi za Dogo Janja kwa Paula
Next Article “Walioniteka waliniambia nitatoka 2030” – ROMA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?