Leo May 6, 2019 Moja ya taarifa iliyo-trend mtandaoni weekend hii ni ya Miss Mbeya kupewa zawadi ya bodaboda, millardayo.com inakusogezea taarifa iliyotolewa na Kituo cha Redio cha Dream FM ambayo wametoa ufafanuzi ishu ya kumpa Mshindi wa Shindano la Miss Mbeya zawadi ya bodaboda.
Waandaaji wa Miss Mbeya Dream FM wazungumzia kumpa Miss bodaboda
Leave a comment
Leave a comment