Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kwa unaefatilia maisha ya mastaa, Snura atavaa vya aina hii sana 2014,
Share
Notification Show More
Latest News
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
August 12, 2022
TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”
August 12, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kwa unaefatilia maisha ya mastaa, Snura atavaa vya aina hii sana 2014,
Habari za Mastaa

Kwa unaefatilia maisha ya mastaa, Snura atavaa vya aina hii sana 2014,

January 4, 2014
Share
2 Min Read
SHARE

IMG-20140102-WA0039Miongoni mwa wasanii wa Bongo fleva ambao hawatoweza kuusahau mwaka 2013 pengine Snura nae yupo kwenye list na hii ni baada ya meneja anayesimamia kazi zake za muziki Hemed Kavu au HK kuzungumza na millardayo.com na kuelezea mafanikio yote ya mwaka 2013 aliyoyapata staa huyu mwa ‘Majanga

IMG-20140102-WA0033Hk anaanza lwa kusema>>>Kiukweli mwaka 2013 tulifanya vitu vingi vikubwa kwa sababu naamini msanii wangu ni msanii pekee wa kike aliyefanya show nyingi hata kwa wanaume hakuna anayemfikia Snura,kuna show tunafanya hadi j’4.j’5 hadi alhamisi tumekua tukizifanya show hizo.

‘Kwa ujumla kuhusu pesa tulizoingiza kwa mwaka 2013 ni mpunga mrefu kwa sababu tumefanya show zisizopungua 180 kwa mfano tunapiga Njombe,tunapiga Songea,tunapiga na Mbinga so kwa wiki tuna uhakika kwa wiki tunafanya show zisizopungua 4 hadi 5

‘Ngoma ya Majanga imehit mwez wa 3 ndo tukaanza kukamata show lakini kabla ya hapo tulikua na nyimbo ya shogaake mama na debe la vanga na tulikua tunafanya show pia,tuna jumla ya show kama 20 za makampuni na hizi ni zile tunalipwa milion 3 hadi milion 4.

‘Kwa siku tunaweza kupiga show hadi 3 kwa mfano kuna siku tulikua na show Z’bar tukaja Dar kulikua na show ya kampuni pale Amana,tukatoka hapo tukawa na show mchana huo huo na usiku tukapiga tena show,Mpunga ni mrefu ni zaidi ya Milion 100’.

‘Kuna dili tulikua tumepata ya Snura kuwa balozi wa kampuni fulani lakini mkataba ndo tunaweza kusaini mwezi huu a,mbao utakua ukihusisha pia na show kwa Snura ambapo watatoa shows 30 ambazo kila show moja tutakua tukifanya kwa milioni 7 kwa hiyo kuna Milion 210 zipo’.

‘Kwa Snura mwaka 2014 amekuja na mavazi yake ambayo tumebuni wenyewe kwa hiyo kuna style mpya ya mavazi na moja kati ya wasanii wanaovaa nguo za heshima ni pamoja na Snura japo mwili wake ndo una tetemesha lakini ndo kaumbwa hivyo inabidi tukubali’.Hk.

 

 

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

Millard Ayo January 4, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya leo January 04 2013
Next Article Ule msikiti anaojenga mwigizaji Mzee Majuto umefikia hapa sasa hivi.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
Entertainment August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
Mix August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
Top Stories August 12, 2022

You Might also Like

Top Stories

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

August 12, 2022
Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?