Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Muuguzi aliyenaswa akimpiga kichanga afukuzwa kazi!
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Muuguzi aliyenaswa akimpiga kichanga afukuzwa kazi!
Top Stories

Muuguzi aliyenaswa akimpiga kichanga afukuzwa kazi!

February 25, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Muuguzi katika hospitali ya New York amesimamishwa kazi na sasa anachunguzwa na polisi baada ya baba kuchukua kipande cha video wakati mtoto wake mchanga akipigwa kofi la usoni na muuguzi huyo alipokuwa akimhudumia.

Tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Good Samaritan huko West Islip huku tarehe ya tukio hilo haikufahamika mara moja.

Polisi wa Suffolk walisema katika upelelezi na ripoti ni kuwa mtoto huyo, Nikko, alikuwa na umri wa siku mbili pekee alipokuwa akipatiwa matibabu na dawa katika chumba cha wagonjwa mahututi cha hospitali ya Neonatal ndipo baba wa mtoto huyo mchanga, Fidel Sinclair, alipoanza kurekodi video ya mtoto wake kupitia mapazia ambayo hayakuonyesha tukio hilo vizuri.

Video kisha ilinasa muuguzi anayedaiwa kumgeuza kwa nguvu mtoto kutoka mgongoni na kumgeuzia upande wa tumboni kwenye sehemu aliyowekwa

Sinclair aliliambia shirika moja la habari kuhusu tukio hilo na kusema;

“Nimefurahi kuwa pale huenda Mungu alinituma,”

“Kama si Mungu, … tusingewahi kuona lolote kati ya hayo likitokea na huenda hilo lingeendelea kutokea usiku kucha, si kwake tu, bali kwa watoto wengine pia.”

“Kwa kuwa huu ni uchunguzi wa wazi, Idara haiwezi kutoa maoni zaidi malalamiko yote ya hospitali huwekwa kuwa siri na uchunguzi utakapokamilika matokeo yanashirikishwa kwa umma,” ilisema taarifa kutoka idara ya afya ya serikali.

 

You Might Also Like

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA February 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 25, 2023
Next Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 25, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?