Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Wasamaria walivyomfuta machozi Mwanafunzi wa UDSM aliyelia gazetini kwa kukosa mkopo
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Wasamaria walivyomfuta machozi Mwanafunzi wa UDSM aliyelia gazetini kwa kukosa mkopo
AyoTV

VIDEO: Wasamaria walivyomfuta machozi Mwanafunzi wa UDSM aliyelia gazetini kwa kukosa mkopo

November 2, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Alionekana kwenye Magazeti likiwemo la Mwananchi akitokwa machozi na kujifuta baada ya kuona jina lake halipo kwenye orodha ya waliopata mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam, jina lake ni Edson Mwakyombe ambaye alifaulu Form VI kwa Dividion 1.8

Baada ya Wasamaria kumuona kwenye gazeti, kupitia kwa Mwanasheria Albert Msando wakaomba kukutana nae tayari wakiwa wameguswa kumsaidia malipo na wakafanikiwa kulitimiza hilo November 1 2016.

Kiufupi ni kwamba Wasamaria wawili Isaria Mlaki na Andrew Komba waliojitokeza kumsaidia wamemuahidi kumsomesha kwa miaka miwili kila mmoja akimsomesha kwa mwaka mmoja.

Baada ya hayo Edson mwenyewe amesema ‘Nashukuru kwamba jambo hili limewagusa watu, naiomba serikali matatizo kama haya ya mkopo wayaangalie sana kwani kuna baadhi ya watu pia wanateseka sana huku chuoni kwetu, pia ninawaahidi hawa waliojitokeza kuwa nitahakikisha nafanya vizuri katika masomo yangu‘

.
Edson Mwakyombe akiwa na msamaria wake Isaria Mlaki aliyejitolea kumsomesha mwaka wa pili chuoni
.
Andrew Komba ambae ambae amejitolea kumsomesha masomo yake ya mwaka wa kwanza, Edson katikati na Mwanasheria Albert Msando

UNAWEZA KUMTAZAMA EDSON KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI AKIONGEA..

ULIPITWA NA KAULI YA SERIKALI BUNGENI KUHUSU WANAFUNZI WALIOKOSA MKOPO? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

ULIYAKOSA MASHINDANO YA MISS TANZANIA 2016? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI MWANZO MWISHO MPAKA MSHINDI ALIVYOPATIKANA

You Might Also Like

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Burkina Faso :Vyombo vya habari vya Ufaransa vyafungiwa, baada ya kufanya mahojiano na Al-Qaeda.

Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa barani Afrika alipotua nchini Ghana.

Kenya: Maandamano ya upinzani kuendelea licha ya onyo la polisi wiki iliyopita.

Rais wa Chad atoa msamaha kwa waasi 380,waliofanya mauaji ya baba yake “2021”.

TAGGED: AyoTV, TZA HABARI
Edwin TZA November 2, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alice Tupa wa Ayo TV ameshazisoma habari zote kubwa za magazeti Nov 2 2016
Next Article Nchi 5 nje ya Afrika zenye vijana wengi ambao hawasomi na hawana kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?